Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Leo 13 June 2026

Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Leo 13 June 2026

Michuano ya Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo huku mechi tatu kupigwa katika viunga vya viwanja mbalimbali, ambapo mabingwa watetezi Yanga wakitarajiwa kuwa ugenini dhidi ya Mashujaa FC kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma, saa 10:15 jioni.

Mchezo mwingine wa mapema utawakutanisha Mbeya City na Mtibwa Sugar saa 8:00 mchana kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya, kabla ya JKT Tanzania kuivaa Singida Black Stars saa 12:30 jioni kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni. Mechi hizo zinabeba uzito kwenye msimamo kutokana na nafasi za timu, pointi na mwenendo wao wa hivi karibuni.

Ratiba ya Ligi Kuu NBC Leo

MudaMechiUwanja
Saa 8:00 mchanaMbeya City vs Mtibwa SugarUwanja wa Sokoine, Mbeya
Saa 10:15 jioniMashujaa FC vs YangaUwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma
Saa 12:30 jioniJKT Tanzania vs Singida Black StarsUwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni

Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Leo 13 June 2026

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. PSG Mabingwa Tena UEFA Champions League Baada ya Ushindi wa Penalti Dhidi ya Arsenal
  2. Liverpool Yaachana na Arne Slot, Iraola Apewa Nafasi Kubwa Kumrithi
  3. Ratiba Ligi Kuu Bara 2026 Yawagawa Wadau Baada ya Msimu Kusogezwa Hadi Juni 30
  4. Ratiba ya Kombe la Dunia 2026: Mechi Zote, Tarehe, Viwanja na Makundi
  5. Yanga Yaiingilia Azam Dili la Winga Mkongo Henoc Molia
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo