Ratiba ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2025/2026

Ratiba ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2025/2026 | CAF Champions League Fixture

Pazia la mashindano ya Klabu Bingwa Afrika msimu wa 2025/2026 limefunguliwa rasmi Jumamosi jijini Dar es Salaam, Tanzania, kufuatia droo ya hatua ya awali na hatua ya pili ya awali ya michuano hiyo iliyofanyika katika studio za Azam Media. Mashindano haya, yanayojulikana kama CAF Champions League, yanajumuisha vilabu 62 kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika, idadi ambayo ni rekodi mpya katika historia ya michuano hiyo, ishara ya kuongezeka kwa mvuto na ushindani wake barani Afrika.

Mabingwa wa kihistoria Al Ahly (Misri) na Mamelodi Sundowns (Afrika Kusini) wamepewa nafasi ya moja kwa moja kuanzia hatua ya pili ya awali, wakifuatana na mabingwa watetezi Pyramids FC (Misri) ambao watakutana na APR ya Rwanda.

MechiTarehe
Mzunguko wa Kwanza
Mogadishu City vs Police19 Sept 2025
AS-FAN vs ES Tunis19 Sept 2025
Elgeco Plus vs Silver Strikers19 Sept 2025
Real Banjul vs AS FAR19 Sept 2025
Al-Merrikh vs Rahimo19 Sept 2025
Mangasport vs Dadjè19 Sept 2025
Fassell vs MC Alger19 Sept 2025
African Stars vs Vipers19 Sept 2025
Jamus vs Al-Hilal19 Sept 2025
Fundación Bata vs Nouadhibou19 Sept 2025
Bibiani Gold Stars vs JS Kabylie19 Sept 2025
Côte d’Or vs Stade d’Abidjan19 Sept 2025
Lioli vs Orlando Pirates19 Sept 2025
Gaborone United vs Simba19 Sept 2025
Simba Bhora vs Nsingizini Hotspurs19 Sept 2025
Rivers Utd vs Ethiopian Insurance19 Sept 2025
Mlandege vs AC Léopards19 Sept 2025
Black Bulls vs Aigle Noir19 Sept 2025
Ali Sabieh vs Power Dynamos19 Sept 2025
ASEC vs East End Lions19 Sept 2025
Monastir vs Kara19 Sept 2025
RSB Berkane vs APR19 Sept 2025
Pyramids vs Tempête Mocaf19 Sept 2025
Stade Malien vs Cercle de Joachim19 Sept 2025
Petro de Luanda vs Wiliete19 Sept 2025
Young Africans vs Colombe19 Sept 2025
Jaraaf vs Horoya19 Sept 2025
Remo Stars vs Zilimadjou19 Sept 2025
Mzunguko wa Pili
Vipers vs African Stars26 Sept 2025
Ali Sabieh vs Aigle Noir26 Sept 2025
RSB Berkane vs Petro de Luanda26 Sept 2025
Kara vs Cercle de Joachim26 Sept 2025
Silver Strikers vs Elgeco Plus26 Sept 2025
Mangasport vs Rahimo26 Sept 2025
ES Tunis vs AS-FAN26 Sept 2025
Zilimadjou vs Remo Stars26 Sept 2025
Black Bulls vs AC Léopards26 Sept 2025
Al-Merrikh vs TBD26 Sept 2025
Mlandege vs Ethiopian Insurance26 Sept 2025
ASEC vs Power Dynamos26 Sept 2025
JS Kabylie vs Bibiani Gold Stars26 Sept 2025
Rivers Utd vs TBD26 Sept 2025
Stade Malien vs Tempête Mocaf26 Sept 2025
Police vs Mogadishu City26 Sept 2025
Pyramids vs APR26 Sept 2025
AS FAR vs Real Banjul26 Sept 2025
Al-Hilal vs Jamus26 Sept 2025
Dadjè vs TBD26 Sept 2025
Jaraaf vs Colombe26 Sept 2025
Young Africans vs Wiliete26 Sept 2025
Nouadhibou vs Fundación Bata26 Sept 2025
Orlando Pirates vs Lioli26 Sept 2025
MC Alger vs Fassell26 Sept 2025
Simba vs Gaborone United26 Sept 2025
Stade d’Abidjan vs Côte d’Or26 Sept 2025
Monastir vs East End Lions26 Sept 2025
Horoya vs TBD26 Sept 2025
Nsingizini Hotspurs vs Simba Bhora26 Sept 2025

Ratiba ya Ligi ya Mabingwa Afrika 2025/2026

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Yanga Kucheza Mechi ya Kirafiki Dhidi ya Rayon Sports ya Rwanda 15/08/2025
  2. Everton na Man City Wakubaliana Kuhusu Uhamisho wa Mkopo wa Grealish
  3. Wachezaji Wapya wa Yanga 2025/2026
  4. Vilabu Bora Afrika 2025 (CAF Club Ranking 2025)
  5. Timu zilizofuzu Robo Fainali CHAN 2024
  6. Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2025/2026 Hatua ya Awali
  7. Droo ya Kombe la Shirikisho CAF 2025/2026
  8. Droo ya Klabu Bingwa Afrika 2025/2026 CAF: Timu na Ratiba Ya Round ya Awali
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo