Rekodi za Simba na Yanga Kufungana

Rekodi za Simba na Yanga Kufungana | Kati ya Simba na Yanga Nani Kafungwa Magoli Mengi

Dabi ya Kariakoo, pambano la watani wa jadi Simba na Yanga, ni zaidi ya mchezo wa soka; ni sehemu ya utamaduni wa mashabiki wa mpira wa miguu Tanzania. Historia ya mapambano haya imejaa ushindani mkali, mabao yaliyofungwa kwa utashi wa hali ya juu, na nyakati zisizosahaulika. Lakini ni mara ngapi Simba na Yanga zimefungana katika historia yao ndefu?

Rekodi za Simba na Yanga Kufungana (Michezo ya Ligi Kuu)

Katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni, Simba na Yanga zimekutana mara kadhaa na matokeo yamekuwa kama ifuatavyo:

TareheNyumbaniMatokeoUgenini
5/11/2023Simba1 – 5Yanga
16/04/23Simba2 – 0Yanga
23/10/22Yanga1 – 1Simba
30/04/22Yanga0 – 0Simba
11/12/2021Simba0 – 0Yanga
3/7/2021Simba0 – 1Yanga
7/11/2020Yanga1 – 1Simba
8/3/2020Yanga1 – 0Simba
4/1/2020Simba2 – 2Yanga
16/02/19Yanga0 – 1Simba
30/09/18Simba0 – 0Yanga
29/04/18Simba1 – 0Yanga
28/10/17Yanga1 – 1Simba
25/02/17Simba2 – 1Yanga
1/10/2016Yanga1 – 1Simba
20/02/16Yanga2 – 0Simba
26/09/15Simba0 – 2Yanga
8/3/2015Simba1 – 0Yanga
18/10/14Yanga0 – 0Simba
19/04/14Yanga1 – 1Simba
20/10/13Simba3 – 3Yanga
18/5/2013Simba1 – 2Yanga
3/10/2012Yanga1 – 1Simba
6/5/2012Simba5 – 0Yanga
8/10/2011Simba1 – 0Yanga
5/3/2011Yanga1 – 0Simba
16/10/10Simba0 – 1Yanga

Rekodi za Simba na Yanga Kufungana

Maelezo

Simba JumlaNyumbaniUgeniniYanga JumlaNyumbaniUgenini
Mechi zilizochezwa281414281414
Ushindi651945
Sare13491394
Vipigo954615
Mabao ya kufunga26179301317
Mabao ya kufungwa30171326917
Pointi311912402119

Mapendekezo ya Mhariri

  1. Jezi Mpya za Simba 2024/25
  2. Cv ya Awesu Ali Awesu Kiungo Mpya Simba 2024/2025
  3. Cv ya Karaboue Chamou Beki Mpya Wa Simba 2024/2025
  4. Cv Ya Joshua Mutale Mchezaji wa Simba
  5. Ratiba Ya Simba Kombe la Shirikisho CAF Confederation Cup 2024/2025
  6. Rasmi: Simba SC Yamtema Sadio Kanoute
  7. Jezi Mpya Za Yanga 2024/2025
  8. Chama Kuvaa Jezi Namba 17 Yanga Msimu Ujao
  9. Ajira Mpya Shinyanga: Halmashauri ya Manispaa Yatangaza Nafasi mbalimbali – Mwisho wa Kutuma Maombi ni 25 Julai, 2024
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo