Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 Hatua ya Awali

Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 Hatua ya Awali (Ratiba ya CAF Champions League Preliminary Round)

Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 Hatua ya Awali

Shirikisho la mpira barani Africa CAF limetangaza ratiba ya awali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika kwa msimu wa 2024/2025. Timu za Tanzania zinazoshiriki, Young Africans (Yanga) na Azam FC, zimepangiwa mechi za kuvutia katika hatua ya kwanza ya mchujo.

Ratiba ya Mechi za Yanga

Yanga, mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wataanza safari yao kwa kucheza dhidi ya Vital’O kutoka Burundi.

Mechi ya kwanza itachezwa nchini Burundi kati ya tarehe 16 na 18 Agosti, 2024, huku mechi ya marudiano ikipangwa kufanyika jijini Dar es Salaam kati ya tarehe 23 na 25 Agosti, 2024.

Kama Yanga watafanikiwa kuibuka washindi katika mchezo wa hatua hii, katika mchezo wao wa pili, watakutana na mshindi kati ya SC Villa Jogoo ya Uganda na Commercial Bank katika hatua ya pili ya mchujo.

Ratiba ya Mechi za Azam FC

Azam FC nao wataanzia kampeni yao nyumbani kwa kuikaribisha APR ya Rwanda kati ya tarehe 16 na 18 Agosti, 2024. Mechi ya marudiano itachezwa nchini Rwanda kati ya tarehe 23 na 25 Agosti, 2024.

Mshindi wa jumla kati ya Azam na APR atakutana na mshindi kati ya JKU ya Zanzibar na Pyramids FC ya Misri katika hatua inayofuata ya mchujo kabla ya kufuzu kwa hatua ya makundi.

Hii Apa Ratiba Kamili ya Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 Hatua ya Awali

Mechi NambaNyumbaniVSUgenini
M.1,2AL Merreikh BentiuVSGor Mahia FC
M.3,4Arta Solar7VSDekadaha FC
M.5,6SC Villa JogooVSCommercial Bank
M.7,8Vital’O FCVSYoung Africans
M.9,10Azam FCVSAPR FC
M.11,12JKU SCVSPyramids FC
M.13,14M. SwallowsVSC. Fer. Da Beira
M.15,16Ngezi Platinum StrsVSAS Maniema
M.17,18Nyasa Big BulletsVSRed Arrows FC
M.19,20African StarsVSJwaneng Galaxy FC
M.21,22Disciples FCVSOrlando Pirates
M.23,24US ZilimadjouVSRangers FC
M.25,26St. LouisVSSagrada Esperança
M.27,28AS DouanesVSCoton Benin
M.29,30AC LéopardsVSCR Belouizdad
M.31,32Victoria UnitedVSFC Samartex
M.33,34ASGNVSRaja CA
M.35,36AS PSIVSUS Monastirienne
M.37,38Watanga FCVSMC Alger
M.39,40Red StarVSDjoliba de Bamako
M.41,42CD MongomoVSASKO de Kara
M.43,44Std. D’AbidjanVSTeungueth FC
M.45,46Milo FCVSFC Nouadhibou
M.47,48Bo Rangers FCVSSan Pedro
M.49,50Libya 2VSAl Hilal SC
M.51,52Libya 1VSEl Merreikh
M.53,54Remo Stars FCVSASFAR Club

Ratiba ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 Hatua ya Awali

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Kombe la Toyota Cup 2024: Ratiba, Tarehe na Matokeo
  2. TANESCO: Ratiba ya Kukatika Umeme Julai 3-4, Mikoa Hii Kuathirika
  3. Timu Zilizofuzu Robo Fainali EURO 2024 & Ratiba
  4. Ratiba Kamili ya UEFA Euro 2024 Hatua Ya 16 Bora
  5. Ratiba ya Treni ya Mwendokasi Ya SGR 2024
  6. Ratiba Ya Ligi Kuu England 2024/2025 EPL
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo