Matokeo na Ratiba ya Kufuzu Kombe la Dunia 2026

Ratiba ya Kufuzu Kombe la Dunia 2026 | Matokeo ya Kufuzu Kombe la Dunia 2026

Kombe la Dunia la FIFA 2026 linakaribia kwa kasi, na shauku ya kujua ni timu zipi zitashiriki michuano hii inazidi kuongezeka duniani kote. Safari ya kufuzu kwa mashindano haya makubwa ya kandanda imeshaanza, huku timu za kitaifa zikipambana vikali kutafuta nafasi ya kushiriki kwenye mashindano haya ya soka kimataifa. Hapa tutakuletea taarifa zote kuhusu matokeo ya michezo ya kufuzu kombe la dunia 2026 pamoja na ratiba ya mechi zijazo kuelekea Kombe la Dunia 2026.

Kombe la Dunia 2026 litakuwa la kipekee kwa sababu kadhaa. Kwanza, litakuwa la kwanza kufanyika katika nchi tatu kwa pamoja: Canada, Mexico, na Marekani. Pili, litakuwa la kwanza kushirikisha timu 48, ongezeko kubwa kutoka 32 za awali. Hii ina maana kwamba ushindani utakuwa mkali zaidi, na fursa zaidi kwa timu ndogo kuonyesha uwezo wao.

Matokeo na Ratiba ya Kufuzu Kombe la Dunia 2026

Matokeo na Ratiba ya Kufuzu Kombe la Dunia 2026

Siku & MudaNyumbaniMatokeoUgenini
Sunday 19/11/2023
FTZimbabwe1 – 1Nigeria
FTBurundi1 – 2Gabon
FTMozambique0 – 2Algeria
FTSierra Leone0 – 2Egypt
FTSudan1 – 0Congo DR
Monday 20/11/2023
FTDjibouti0 – 1Guinea-Bissau
FTGambia0 – 2Côte d’Ivoire
FTLiberia3 – 0Equatorial Guinea
19:00Eritrea –Congo
FTSeychelles0 – 5Kenya
FTChad0 – 3Madagascar
FTMali1 – 1Central African Republic
Tuesday 21/11/2023
FTEthiopia0 – 3Burkina Faso
FTLesotho0 – 0Benin
FTRwanda2 – 0South Africa
FTSomalia0 – 1Uganda
FTBotswana1 – 0Guinea
FTMalawi0 – 1Tunisia
FTEswatini0 – 2Cabo Verde
FTSouth Sudan0 – 0Mauritania
FTTogo0 – 0Senegal
FTMauritius0 – 0Angola
FTLibya1 – 1Cameroon
FTSão Tomé e Príncipe0 – 2Namibia
FTComoros1 – 0Ghana
FTTaifa Star0 – 2Morocco
FTNiger2 – 1Zambia
Monday 03/06/2024
1:00Taifa Star –Eritrea
Wednesday 05/06/2024
19:00Sierra Leone –Djibouti
19:00Togo –South Sudan
19:00Namibia –Liberia
19:00Central African Republic –Chad
22:00Tunisia –Equatorial Guinea
Thursday 06/06/2024
16:00Malawi –São Tomé e Príncipe
19:00Guinea-Bissau –Ethiopia
19:00Mauritania –Sudan
19:00Libya –Mauritius
19:00Congo –Niger
22:00Egypt –Burkina Faso
22:00Senegal –Congo DR
22:00Benin –Rwanda
22:00Algeria –Guinea
22:00Mali –Ghana
Friday 07/06/2024
16:00Zimbabwe –Lesotho
16:00Kenya –Burundi
16:00Mozambique –Somalia
19:00Uganda –Botswana
19:00Madagascar –Comoros
22:00Nigeria –South Africa
22:00Angola –Eswatini
22:00Morocco –Zambia
22:00Côte d’Ivoire –Gabon
Saturday 08/06/2024
16:00Cameroon –Cabo Verde
19:00Gambia –Seychelles

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Timu zitakazo shiriki CECAFA kagame Cup 2024
  2. Timu Inayoongoza kwa Magoli Ligi Kuu Ya NBC 2023/2024
  3. Guardiola Ashinda Tuzo Ya Kocha Bora EPL 2023/2024
  4. Mauricio Pochettino aondoka Chelsea Baada ya Msimu Mmoja
  5. Hawa Ndio Viungo Wanaoweza Kurithi Mikoba Ya Toni Kroos
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo