Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Dunia 2026

Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Dunia 2026

Michuano ya Kombe la Dunia 2026 inaendelea kutimua vumbi katika viwanja mbalimbali, huku timu za mataifa mbalimbali zikipambana kutafuta tiketi za kufuzu hatua ya robo fainali. Michuano hiyo sasa imeingia katika hatua muhimu kuelekea kumpata bingwa, baada ya mechi za awali za mtoano kushuhudia mabao, matokeo yasiyotarajiwa na timu mbalimbali kuendelea na safari yao.

Hatua ya 16 bora bado inaendelea, huku nafasi za robo fainali zikianza kuamuliwa. Orodha ya timu zilizofuzu robo fainali Kombe la Dunia 2026 inaendelea kupata sura kadri mechi za hatua hiyo zinavyochezwa, pamoja na ratiba ya michezo inayofuata kuelekea hatua ya timu nane bora.

Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Dunia 2026

Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Dunia 2026

  1. Morocco

Morocco ndiyo timu iliyothibitisha kufuzu hatua ya robo fainali hadi sasa.

Ratiba ya Mechi Zilizobaki Hatua ya 16 Bora

Mechi nyingine za hatua ya 16 bora zitaamua timu zitakazokamilisha orodha ya nane bora katika Kombe la Dunia 2026.

MechiMjiTarehe na muda
Paraguay v FrancePhiladelphiaJulai 5, saa 7am AEST
Brazil v NorwayNew York/New JerseyJulai 6, saa 6am AEST
Mexico v EnglandMexico CityJulai 6, saa 10am AEST
Spain v PortugalArlingtonJulai 7, saa 5am AEST
Belgium v USASeattleJulai 7, saa 10am AEST
Egypt v ArgentinaAtlantaJulai 8, saa 2am AEST
Switzerland v ColombiaVancouverJulai 8, saa 8am AEST

Soma Pia:

  1. Ratiba ya Kombe la Dunia Leo 01/07/2026
  2. Timu Zilizofuzu 16 Bora Kombe la Dunia 2026
  3. Timu za Afrika Zilizofuzu Hatua ya 32 Bora Kombe la Dunia 2026
  4. Ratiba ya Hatua ya 32 Bora Kombe la Dunia 2026
  5. Ratiba ya Mechi za Hatua ya 32 Bora Kombe la Dunia 2026
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo