Ratiba ya Mechi za Ligi Kuu ya NBC Leo Agosti 19 2026
Ligi Kuu ya NBC Tanzania 2026/2027 inaendelea leo Jumatano, Agosti 19, 2026, ikiwa na michezo mitatu itakayotimua vumbi katika miji tofauti nchini. Mechi hizo ni Mbeya City dhidi ya Dodoma Jiji, Pamba Jiji dhidi ya Simba SC na Kagera Sugar dhidi ya Singida Black Stars.
Msimu wa 2026/2027 ulianza rasmi Agosti 14, 2026, ukiwa na jumla ya timu 16 na mechi 240 katika msimu mzima.
Ratiba ya Ligi Kuu NBC Leo Agosti 19, 2026
| Muda | Mechi | Uwanja |
| 2:00 Mchana | Mbeya City vs Dodoma Jiji | Sokoine Stadium |
| 4:15 Jioni | Pamba Jiji vs Simba SC | CCM Kirumba Stadium |
| 7:00 Usiku | Kagera Sugar vs Singida Black Stars | Kaitaba Stadium |

Soma Pia:




```







Leave a Reply