Ratiba ya CECAFA KAGAME CUP 2026

Ratiba ya CECAFA KAGAME CUP 2026

Michuano ya CECAFA Kagame Cup 2026 inatarajiwa kuwa na mfululizo wa mechi za nguvu kuanzia Ijumaa, Julai 24 hadi Jumatano, Julai 29. Jumla ya michezo 12 imepangwa ndani ya kipindi hicho, huku kila siku ikiwa na mechi mbili zitakazochezwa nyakati za jioni na usiku.

Ratiba hiyo inajumuisha Simba SC na Singida BS pamoja na Vipers SC, APR FC, Gor Mahia, Al Hilal SC, Tusker FC, Rayon Sports na timu nyingine zinazoshiriki. Kwa mashabiki wanaotaka kufuatilia mashindano hayo, ratiba kamili inaweka wazi tarehe, muda na timu zitakazokutana katika kila mchezo.

Ratiba kamili ya CECAFA Kagame Cup 2026

TareheMudaTimu ya KwanzaTimu ya Pili
Ijumaa 24 JulaiSaa 10:00 jioniVipers SCGarde Républicaine FC
Ijumaa 24 JulaiSaa 2:00 usikuAPR FCGor Mahia
Jumamosi 25 JulaiSaa 10:00 jioniSingida BSJamus FC
Jumamosi 25 JulaiSaa 1:00 usikuSimba SCMogadishu City Club
Jumapili 26 JulaiSaa 10:00 jioniAl Hilal SCTusker FC
Jumapili 26 JulaiSaa 1:00 usikuRayon SportsKVZ SC
Jumatatu 27 JulaiSaa 10:00 jioniGor MahiaVipers SC
Jumatatu 27 JulaiSaa 1:00 usikuGarde Républicaine FCAPR FC
Jumanne 28 JulaiSaa 10:00 jioniMogadishu City ClubSingida BS
Jumanne 28 JulaiSaa 1:00 usikuJamus FCSimba SC
Jumatano 29 JulaiSaa 10:00 jioniKVZ SCAl Hilal SC
Jumatano 29 JulaiSaa 1:00 usikuTusker FCRayon Sports

Ratiba ya CECAFA KAGAME CUP 2026

Ratiba ya Simba SC na Singida BS

Simba SC itaanza ratiba yake Jumamosi, Julai 25 kwa kucheza dhidi ya Mogadishu City Club saa 1:00 usiku. Mechi yake inayofuata itakuwa Jumanne, Julai 28 dhidi ya Jamus FC, pia saa 1:00 usiku.

Singida BS itacheza dhidi ya Jamus FC Jumamosi, Julai 25 saa 10:00 jioni. Timu hiyo itarejea uwanjani Jumanne, Julai 28 kucheza dhidi ya Mogadishu City Club saa 10:00 jioni.

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Ratiba ya Simba SC Ligi Kuu ya NBC 2026/2027
  2. Ratiba Yanga Ligi Kuu ya NBC 2026/2027 Tanzania
  3. Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania 2026/2027: Mechi Zote za NBC Premier League
  4. CV Ya Manqoba Mngqithi Kocha Mpya wa Yanga 2026/2027
  5. Tetesi Za Usajili Yanga 2026/2027: Usajili Mpya, Wanaotajwa na Wanaoweza Kuondoka
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo