Kikosi cha Kinondoni Municipal Council F.C 2024/2025 (Wachezaji wa KMC)

Kikosi cha Kinondoni Municipal Council F.C 2024/2025 (Wachezaji wa KMC) | Namba za Wachezaji wa KMC

Kinondoni Municipal Council Football Club almaharufu kama KMC FC ni moja ya timu zinazowakilisha kwa umahiri mkubwa wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania. Timu hii imeendelea kuonesha ubora wa hali ya juu tangu ilipojiunga na Ligi Kuu ya Tanzania mnamo mwaka 2018. Hapa Habariforum tumekuletea orodha ya wachezaji wa KMC kwa msimu wa 2024/2025.

Kikosi cha Kinondoni Municipal Council F.C 2024/2025 (Wachezaji wa KMC)

Kwa msimu wa 2024/2025, KMC FC imejipanga vyema kwa lengo la kushindana kwa ubora zaidi katika Ligi Kuu ya NBC. Timu hii inasimamiwa na kocha mwenye uzoefu, huku ikiwa na wachezaji wenye uwezo na vipaji vya hali ya juu ambao wanatarajiwa kuleta mchango mkubwa katika mafanikio ya klabu. Orodha ya wachezaji wanaounda kikosi cha KMC 2024/2025 ni kama ifuatavyo:

Nambari ya MchezajiJina la Mchezaji
1Fabien Mutombora
3Hance Masoud
5Juma Shemvuni
9Ibrahim Elias
11Rashid Chambo
20Jean Nzeyimana
21Pascal Mussa
23Oscar Paulo
27Salum Salum
8Ken Ally
32Abdalla Said
28Fredy Tangalo
24Deogratius Kulwa
14Ali Shabani
38Nickson Mosha
26Junior Majid
30Redemtus Mussa
31Andrew Vicent
33Wilbol Maseke
0:00Hamis Omary
48Shomary Rahimu

Kikosi cha Kinondoni Municipal Council F.C 2024/2025 (Wachezaji wa KMC)

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Kikosi Cha Yanga 2024/2025 | Wachezaji Wote Wa Yanga
  2. Kikosi Cha Simba 2024/2025 | Wachezaji Wote wa Simba
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo