Kikosi cha Fountain Gate FC 2024/2025

Kikosi cha Fountain Gate FC 2024/2025 | Orodha ya Wachezaji wa Fountain Gate FC 2024/2025

Fountain Gate FC ni moja ya klabu za mpira wa miguu zinazoshiriki Ligi Kuu ya NBC Tanzania kwa msimu wa 2024/2025. Klabu hii, iliyokua inajulikana awali kama Singida Big Stars, imeendelea kujipambanua kama klabu kubwa katika mpira wa miguu nchini Tanzania. Ilianzishwa mwaka 2010 kama timu ya wafanyakazi wa Diamond Trust Bank (DTB) kabla ya kubadilishwa jina kuwa Singida Big Stars mwaka 2022 na hatimaye kuwa Fountain Gate FC mwaka 2024.

Kikosi cha Fountain Gate FC 2024/2025

Hapa chini ni kikosi rasmi cha Fountain Gate FC kwa msimu wa 2024/2025, ambacho kinajumuisha wachezaji wenye vipaji vya hali ya juu, ambao watapamba wakiwa na jezi ya Fountain Gate katika kampeni ya kushinda ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC.

Kikosi cha Fountain Gate FC 2024/2025

Namba ya MchezajiJina la Mchezaji
24Seleman Bakari
4Laurian Makame
3Amos Kadikilo
7Dickson Ambundo
8Kassim Suleiman
10Salum Kihimbwa
13Abdallah Kulandana
11William Edger
60Seleman Mwalimu
19Anack Mtambi
25Yesaya Mwawenda
1Noble John
6Shafik Batambuze
23Aron Lulambo
16Elie Mokono
17Hashimu Omary
27Joram Mgeveke
31Zam Elias
29Nocholas Gyan
53Enrick Vitars
22Sadick Ramadhani

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Kikosi cha Tanzania Prisons 2024/2025
  2. Wachezaji Wa Yanga Walioitwa Timu ya Taifa October 2024
  3. Wachezaji Wa Simba Walioitwa Timu ya Taifa October 2024
  4. Ratiba ya Mechi za Yanga Ligi Kuu NBC 2024/2025
  5. Ratiba ya Mechi Zijazo za Yanga 2024/2025
  6. Mechi ya Simba vs Yanga Ligi Kuu 2024/2025 Itachezwa Lini?
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo