Tuzo ya Mchezaji Bora Ligi Kuu NBC 2023/2024: Hawa Ndio Wagombea

Tuzo ya Mchezaji Bora Ligi Kuu NBC 2023/2024: Hawa Ndio Wagombea

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza orodha ya wachezaji wanaoshindania tuzo mbalimbali za TFF kwa msimu wa 2023/2024. Tuzo hizo zimepangwa kutolewa Agosti 1 2024 ambapo mashabiki na wadau wa soka nchini Tanzania watapata fursa ya kuwasherekea wachezaaji walioonesha kiwango kikubwa zaidi katika msimu wa 2023/2024. Hapa tumekuletea orodha katili ya wachezaji wanao wania Tuzo ya Mchezaji Bora Ligi Kuu NBC 2023/2024.

Tuzo ya Mchezaji Bora Ligi Kuu NBC 2023/2024: Hawa Ndio Wagombea

  1. Aziz KI – Young Africans Sc
  2. Feisal Salum – Azam
  3. Kipre Junior – Azam
  4. Djigui Diarra – Young Africans Sc
  5. Ley Matampi – Coastal
  6. Attohoula Yao – Young Africans Sc
  7. Ibrahim Bacca – Young Africans Sc
  8. Mohamed Hussein – Simba

Tuzo ya Mchezaji Bora Ligi Kuu NBC 2023/2024: Hawa Ndio Wagombea

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Wanaowania Tuzo za TFF 2023/2024
  2. Hizi apa Tuzo Anazowania Stephane Aziz Ki
  3. Novatus Miroshi Ajiunga na Goztepe ya Uturuki
  4. Matokeo TS Galaxy Vs Yanga Leo 24 July 2024- Mechi Ya Kirafiki
  5. Hizi Apa Picha Za Jezi Mpya Ya Simba 2024/2025
  6. Simba SC Yatoa Tamko Rasmi Kuhusu Kibu Mkandaji
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo