Msimamo wa Ligi Kuu ya U17 Tanzania 2024

Msimamo wa Ligi Kuu ya U17 Tanzania 2024: Ligi Kuu ya vijana chini ya miaka 17 Tanzania, maarufu kama Ligi Kuu ya U17 Tanzania, ya mwaka 2024 imekuwa chimbuko la nyota wapya wa soka nchini. Vijana kutoka pande mbalimbali za nchi wanatumia fursa hii kuonyesha vipaji vyao vya kusakata kabumbu. Ligi hii inawaleta pamoja wanasoka chipukizi kutoka pembe zote za Tanzania, na mwaka huu pia, imeendelea kuwa jukwaa la kuibua na kuendeleza vipaji vya soka nchini.

Msimamo wa Ligi Kuu ya U17 Tanzania 2024

SN TEAM GP W D L GF GA GD PTS
1 AZAM FC 13 10 3 0 30 5 25 33
2 YOUNG AFRICANS SC 13 8 2 3 28 13 15 26
3 JKT TANZANIA FC 13 8 1 4 17 12 5 25
4 SIMBA SC 13 7 3 3 29 8 21 24
5 IHEFU FC 13 6 3 4 17 11 6 21
6 KARUME YOUTH CENTER 13 5 6 2 17 16 1 21
7 COASTAL UNION FC 13 5 5 3 23 11 12 20
8 TDS U17 13 5 5 3 21 16 5 20
9 KMC FC 13 5 2 6 18 17 1 17
10 TANZANIA PRISONS FC 13 4 4 5 17 20 -3 16
11 GEITA FC 13 4 3 6 18 24 -6 15
12 SINGIDA FOUNTAIN GATE FC 13 2 2 9 12 30 -18 8
13 TABORA UTD 13 1 3 9 10 37 -27 6
14 MTIBWA FC 13 0 0 13 3 40 -37 0

Msimamo wa Ligi Kuu ya U17 Tanzania 2024

Maelezo

GP: Mechi zilizochezwa
W: Kushinda
D: Sare
L: Kupoteza
GF: Magoli Kufunga
GA: Magoli Kufungwa
GD: Tofauti ya Magoli
P: Pointi

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Msimamo wa Ligi Kuu England 2024/25 EPL Standings
  2. Msimamo Ligi Kuu Ujerumani Bundesliga 2024/2025
  3. Msimamo Ligi Kuu Ujerumani Bundesliga 2023/24
  4. Msimamo wa NBC Championship Tanzania 2024/2025
  5. Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier League
  6. Msimamo wa Ligi Kuu ya Zanzibar 2023/2024 PBZ Premier League Table
  7. Msimamo Makundi ya EURO 2024
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo