Msimamo Ligi Daraja la Kwanza 2024/2025

Msimamo Ligi Daraja la Kwanza 2024/2025 | Msimamo wa Ligi ya Championship Tanzania 2024/2025

Ligi Daraja la Kwanza Tanzania, almaharufu kama NBC Championship, imeanza kwa kishindo msimu wa 2024/2025. Timu 16 zinapambana vikali kuwania nafasi ya kupanda daraja na kucheza Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ujao.

Msimu huu umeanza kwa moro na unaendelea kua msimu wa kipekee kutokana na ubora wa vilabu vinavyoshiriki, huku timu zikionyesha uwezo mkubwa na ushindani mkali. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza rasmi kuwa ligi itaendelea hadi tarehe 10 Mei 2025. Katika michezo ya mwanzo ya ligi, timu kadhaa zimeanza kuonyesha nia ya dhati ya kutawala ligi baada ya kuanza kwa kugawa dozi kwa wapinzani wao. Hapa habariforum tutakupa taariza kamili kuhusu hali ya msimamo wa ligi hii.

Msimamo Ligi Daraja la Kwanza 2024/2025

Msimamo Ligi Daraja la Kwanza 2024/2025

Nafasi

TimuPWDLGFGAGDPts
1Mtibwa Sugar1714213172444
2Geita Gold17113328101836
3Mbeya City17105230161435
4Stand United1610242215732
5TMA1794427171031
6Mbeya Kwanza179442116531
7Bigman177551312126
8Songea United176741916325
9Mbuni176561916323
10Polisi Tanzania175571418-420
11A.Sports1742111425-1114
12Green Warriors1732121131-2011
13Transit Camp1624101021-1110
14Kiluvya1731131025-1510
15Cosmopolitan1723121127-169
16Biashara UTD175481422-84

Angalia Pia

  1. Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025 Tanzania Premier League
  2. Msimamo Kundi la Tanzania Kufuzu Kombe La Dunia 2026
  3. Msimamo Makundi ya EURO 2024
  4. Msimamo Wa Ligikuu Ya NBC Tanzania 2023/2024
  5. Msimamo Wa Ligikuu Ya NBC Tanzania 2023/2024
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo