Wafungaji Bora Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania 2024/2025
Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) kwa msimu wa 2024/2025 imekuwa na ushindani mkali, huku wachezaji mbalimbali wakionyesha uwezo wa hali ya juu katika kufumania nyavu. Katika makala hii, tunakuletea orodha ya wafungaji bora wa ligi hii kwa mujibu wa takwimu rasmi zilizopo hadi sasa. Wafuatao ni Wanaoongoza kwa ufungaji Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) 2024/2025.
Wafungaji Bora Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania 2024/2025
Nafasi | Mchezaji | Mabao |
1 | Stumai Abdallah | 21 |
2 | Jentrix Shikangwa | 17 |
3 | Neema Paul | 12 |
4 | Winfrida Hubert | 7 |
5 | Asha Djafari | 5 |
6 | Elizabeth Wambui | 5 |
7 | Donisia Minja | 5 |
8 | Zainabu Mohamed | 5 |
9 | Amina Ramadhani | 5 |
10 | Margret Kunihira | 5 |
Mapendekezo ya Mhariri:
- Samatta Atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Februari PAOK
- Okwi Atangaza Kustaafu Soka La Kimataifa
- Yanga Princess Yaibuka na Ushindi wa 1-0 Dhidi ya Simba Queens
- Yanga Rasmi Yapeleka Kesi CAS Kupinga Msimamo wa Bodi ya Ligi
- Rachid Taoussi Aanza Hesabu za Msimu Ujao
- Safari ya Serengeti Girls Kufuzu Kombe la Dunia Yafika Tamati
- Ratiba Raundi ya Tano (16 Bora) CRDB Bank Federation Cup 2024/2025
- Kikosi cha Taifa Star Kilichoitwa Kambini Kufuzu Kombe la Dunia
- Timu Zilizofuzu 16 Bora Kombe la Shirikisho la CRDB Federation Cup 2024/2025
Leave a Reply