Kikosi cha Kinondoni Municipal Council F.C 2024/2025 (Wachezaji wa KMC)

Kikosi cha Kinondoni Municipal Council F.C 2024/2025 (Wachezaji wa KMC) | Namba za Wachezaji wa KMC

Kinondoni Municipal Council Football Club almaharufu kama KMC FC ni moja ya timu zinazowakilisha kwa umahiri mkubwa wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania. Timu hii imeendelea kuonesha ubora wa hali ya juu tangu ilipojiunga na Ligi Kuu ya Tanzania mnamo mwaka 2018. Hapa Habariforum tumekuletea orodha ya wachezaji wa KMC kwa msimu wa 2024/2025.

Kikosi cha Kinondoni Municipal Council F.C 2024/2025 (Wachezaji wa KMC)

Kwa msimu wa 2024/2025, KMC FC imejipanga vyema kwa lengo la kushindana kwa ubora zaidi katika Ligi Kuu ya NBC. Timu hii inasimamiwa na kocha mwenye uzoefu, huku ikiwa na wachezaji wenye uwezo na vipaji vya hali ya juu ambao wanatarajiwa kuleta mchango mkubwa katika mafanikio ya klabu. Orodha ya wachezaji wanaounda kikosi cha KMC 2024/2025 ni kama ifuatavyo:

Nambari ya Mchezaji Jina la Mchezaji
1 Fabien Mutombora
3 Hance Masoud
5 Juma Shemvuni
9 Ibrahim Elias
11 Rashid Chambo
20 Jean Nzeyimana
21 Pascal Mussa
23 Oscar Paulo
27 Salum Salum
8 Ken Ally
32 Abdalla Said
28 Fredy Tangalo
24 Deogratius Kulwa
14 Ali Shabani
38 Nickson Mosha
26 Junior Majid
30 Redemtus Mussa
31 Andrew Vicent
33 Wilbol Maseke
0:00 Hamis Omary
48 Shomary Rahimu

Kikosi cha Kinondoni Municipal Council F.C 2024/2025 (Wachezaji wa KMC)

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Kikosi Cha Yanga 2024/2025 | Wachezaji Wote Wa Yanga
  2. Kikosi Cha Simba 2024/2025 | Wachezaji Wote wa Simba
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo