Idadi ya Makombe ya UEFA Real Madrid

Idadi ya Makombe ya UEFA Real Madrid | Jumla ya Makombe ya Klabu Bingwa Ulaya ya Real Madrid

Real Madrid, wababe wa soka kutoka Hispania, imeendeleza utawala wake katika soka la Ulaya kwa kutwaa kombe la 15 la Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League) baada ya kuifunga Borussia Dortmund kwenye fainali ya kusisimua iliyofanyika Uwanja wa Wembley June 01 2024.

Ushindi huu ni wa sita kwa Real Madrid ndani ya miaka kumi iliyopita, na unathibitisha zaidi nafasi yao kama timu yenye mafanikio makubwa katika historia ya mashindano haya ya kifahari. Timu hiyo ya Hispania ilionyesha ubabe wao uwanjani kwa mchezo wa kusisimua na ushindi wa kishindo. Los Blancos, kama wanavyojulikana, walikuwa na mfululizo wa ushindi katika mashindano haya, wakishinda kila mchezo tangu hatua ya makundi. Ubora wao uwanjani na uzoefu katika mechi kubwa uliwapa faida kubwa dhidi ya Borussia Dortmund.

Idadi ya Makombe ya UEFA Real Madrid

Idadi ya Makombe ya UEFA Real Madrid

Real Madrid imekuwa na utawala mkubwa katika soka ya Ulaya, hasa katika Ligi ya Mabingwa Ulaya. Wameshiriki katika fainali 18, wakishinda 15 na kupoteza tatu pekee. Idadi hii ya mataji ni mara mbili ya AC Milan, timu iliyopo nafasi ya pili kwa mataji mengi.

Hii apa Orodha ya Misimu ambayo Real Madrid ameshinda UEFA

Sn SEASON WINNER
15 2023-24 Real Madrid
14 2021-22 Real Madrid
13 2017-18 Real Madrid
12 2016-17 Real Madrid
11 2015-16 Real Madrid
10 2013-14 Real Madrid
9 2001-02 Real Madrid
8 1999-2000 Real Madrid
7 1997-98 Real Madrid
6 1965-66 Real Madrid
5 1959-60 Real Madrid
4 1958-59 Real Madrid
3 1957-58 Real Madrid
2 1956-57 Real Madrid
1 1955-56 Real Madrid

Mapendekezo Ya Mhariri:

  1. Viingilio vya Fainali ya Kombe la Shirikisho CRDB 2024: Bei na Maeneo ya Kununua Tiketi Yatangazwa!
  2. Ley Matampi Golikipa mwenye Clean Sheet Nyingi Ligi Kuu NBC 2023/2024
  3. Timu za Tanzania Zilizofuzu Klabu Bingwa Afrika 2024/2025
  4. Timu Zilizofuzu Klabu Bingwa Afrika 2024/2025
  5. Muonekano wa Kombe La CRDB Federation Cup 2023/2024
  6. Harry Kane Ndio Mshindi wa Kiatu cha Dhahabu Ulaya 2023-2024
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo