Timu zilizofuzu Makundi Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

Timu zilizofuzu Makundi Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 | Timu zilizofuzu Hatua ya Makundi Club Bingwa Afrika

Ligi ya Mabingwa wa Afrika, maarufu kama CAF Champions League, ni moja ya mashindano maarufu zaidi barani Afrika, yanayohusisha timu bora kutoka mataifa mbalimbali kuwania ubingwa wa bara hili. Msimu wa 2024/2025 umeanza kwa shauku kubwa, huku timu kadhaa zikifanikiwa kupata tiketi ya kushiriki katika hatua ya makundi baada ya mechi kali na zenye ushindani mkubwa. Hapa Habariforum tutakuletea orodha kamili ya vilabu vyote vitakavyojipatia tiketi ya kushiriki hatua ya Makundi katika michuano ya klabu bingwa ya CAF.

Timu zilizofuzu Makundi Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

CR Belouizdad imekua timu ya kwanza kuthibitisha nafasi yake katika hatua ya makundi ya msimu wa 2024/2025. Timu hii kutoka Algeria ilifanikiwa kuwatoa wapinzani wao AS Douanes kutoka Burkina Faso. Katika mchezo wa pili wa marudiano, CR Belouizdad ilishinda kwa mikwaju ya penalti baada ya sare ya 1-1 kwa jumla ya mabao. Ushindi wa penalti wa 4-3 uliwapa nafasi ya kushiriki tena hatua ya makundi, ikiwa ni mara yao ya tano kufuzu katika historia ya mashindano haya.

Hapa Chini ni orodha ya timu zilizofuzu hatua ya makundi club bingwa afrika

1. CR Belouizdad

Timu zilizofuzu Makundi Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

2. TP Mazembe

TP Mazembe

3. Orlando Pirates

4. Raja Club Athletic

5. Pyramids FC

6. ES Tunis

7. Young Africans SC

8. Al Ahly FC

9. Mamelodi Sundowns FC

10. AS Maniema Union

Mapendeklezo ya Mhariri:

  1. Yanga Vs CBE SA Leo 21/09/2024 Saa Ngapi
  2. Matokeo ya Yanga Vs CBE SA Leo 21 September 2024
  3. Kikosi cha Yanga Vs CBE SA Leo 21 September 2024
  4. Ley Matampi Ajitoa Mapema Mbio za Kipa Bora
  5. Picha za Jezi Mpya za Pamba Fc 2024/2025
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo