Ratiba ya Mechi za Yanga February 2025

ratiba ya yanga february 25

Ratiba ya Mechi za Yanga February 2025

Baada ya kutolewa katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika, sasa macho na nguvu zote za klabu ya Yanga SC zimeelekezwa katika michuano ya ndani. Kocha mkuu wa timu, Sead Ranivic, ameweka wazi dhamira yake ya kuhakikisha kikosi chake kinakusanya mataji yote ya ndani msimu huu. Timu hiyo inatarajiwa kuwa na kalenda yenye ushindani mkubwa mwezi wa Februari 2025, huku mashabiki wakitarajia burudani ya hali ya juu kutoka kwa wachezaji wao. Hapa chini ni ratiba kamili ya mechi za Yanga kwa mwezi huu wa Februari.

Ratiba Kamili ya Mechi za Yanga SC – February 2025

Yanga SC vs Mtibwa Sugar

  • Tarehe: 1 Februari 2025
  • Muda: Saa 10:00 jioni
  • Uwanja: Nyumbani

Yanga SC vs Ken Gold

  • Tarehe: 5 Februari 2025
  • Muda: Saa 10:15 jioni
  • Uwanja: Nyumbani

JKT Tanzania vs Yanga SC

  • Tarehe: 10 Februari 2025
  • Muda: Saa 10:15 jioni
  • Uwanja: Ugenini

KMC vs Yanga SC

  • Tarehe: 14 Februari 2025
  • Muda: Saa 10:15 jioni
  • Uwanja: Ugenini

Yanga SC vs Singida Big Stars

  • Tarehe: 17 Februari 2025
  • Muda: Saa 10:00 jioni
  • Uwanja: Nyumbani

Mashujaa FC vs Yanga SC

  • Tarehe: 23 Februari 2025
  • Muda: Saa 10:15 jioni
  • Uwanja: Ugenini

Gwambina FC vs Yanga SC

  • Tarehe: 28 Februari 2025
  • Muda: Saa 10:15 jioni
  • Uwanja: Ugenini

Ratiba ya Mechi za Yanga February 2025

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Matokeo ya Yanga Vs Kagera Sugar Leo 01/02/2025
  2. Kikosi cha Yanga Vs Kagera Sugar Leo 01/02/2025
  3. Aliekua Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi Atua Al Nasr ya Libya
  4. Kagera Sugar Yatamba Kuondoa Unyonge KMC Complex Dhidi ya Yanga
  5. Morocco Aweka Mikakati ya Ushindi dhidi ya Vigogo Ndani ya Kundi C AFCON 2025
  6. Simba SC Yajiandaa Vikali Kuisambaratisha Tabora United
  7. Makundi ya Fainali za Mataifa ya Afrika AFCON 2025
  8. Kundi la Stars AFCON 2025 Kufahamika Leo
  9. Ramovic Aelezea Sababu za Ikanga Kukosa Mchezo wa Kombe la Shirikisho
  10. Lyanga Apania Kufanya Makubwa Mashujaa FC
  11. Ancelotti Kuondoka Real Madrid Mwisho wa Msimu 2024/2025
  12. Yanga Yapania Kurudi kwa Nguvu Ligi ya Mabingwa Msimu Ujao
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo