Nassor Saadun Hamoud Asaini Mkataba Mpya na Azam FC

Nassor Saadun Hamoud Asaini Mkataba Mpya na Azam FC

Klabu ya Azam FC imethibitisha kumsainisha kiungo mshambuliaji Nassor Saadun Hamoud nyongeza ya mkataba mpya wa mwaka mmoja wa kuendelea kusalia kwenye viunga vya Azam Complex hadi mwaka 2026. Mkataba wa awali wa Saadun ulikuwa utamatike mwisho wa msimu huu lakini sasa ataendelea kudumu klabuni hapo mpaka Juni 2026.

Nassor Saadun Hamoud Asaini Mkataba Mpya na Azam FC

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Clement Mzize: “Nina Hatari Zaidi Nikitokea Benchi”
  2. Messi na Ronaldo nje Ballon d’Or 2024
  3. Singida Black Stars Yafikia Makubaliano na Mwenda
  4. Picha za Jezi Mpya za Dodoma Jiji 2024/2025
  5. Wachezaji Sita wa Uingereza Watajwa Kwenye Orodha ya Ballon d’Or 2024
  6. Moloko Atoa Maoni Yake Baada ya Mchezo wa Stars na Ethiopia
  7. Wachezaji Wanaowania Tuzo ya Ballon d’Or 2024
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo