Hizi Apa Picha za Jezi Mpya ya Azam Fc 2024/2025

Hizi Apa Picha za Jezi Mpya ya Azam Fc 2024/2025: Klabu ya Azam Fc imezindua jezi zake mpya kwa ajili ya msimu wa 2024/2025. Jezi hizo zimezinduliwa leo Agosti 01 2024 katika boti ya Kilimanjaro VIII ‘The Falcon Sea’ jijini Dar es Salaam saa 3:00 asubuhi. Hapa Habariforum tumekuletea picha za jezi zote mpya za Azam Fc kujumuisha, picha za jezi ya nyumbani, Ugenini na Jezi ya tatu.

Hizi Apa Picha za Jezi Mpya ya Azam Fc 2024/2025

Picha za Jezi Ya Azam Fc Mechi za Nyumbani 2024

Picha Jezi Mpya za Azam Fc Mechi za Ugenini 2024

Picha Jezi Ya Azam Fc Mechi za Ugenini 2024

Picha Jezi Ya Mpya ya Azam Fc 2024/2025 (Jezi ya Tatu)

Picha Jezi Ya Mpya ya Azam Fc 2024/2025 (Jezi ya Tatu)

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Jezi Mpya Za Azam Fc 2024/2025
  2. Hizi Apa Picha Za Jezi Mpya Ya Yanga Sc 2024/2025
  3. Hizi Apa Picha Za Jezi Mpya Ya Simba 2024/2025
  4. Hii apa Ratiba ya Mechi za Azam Fc Pre season
  5. Matokeo Azam FC vs US Yacoub El Mansour Leo (20/07/2024) | Mechi ya Kirafiki
  6. Azam Fc Yasajili Kiungo Mkabaji Kutoka CR Belouizdad
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo