Hiki Apa Kikosi cha Simba vs Azam Fc Leo 24/02/2025

Hiki Apa Kikosi cha Simba vs Azam Fc Leo

Hiki Apa Kikosi cha Simba vs Azam Fc Leo 24/02/2025

Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, leo watashuka dimbani kuwakabili wana Rambaramba, Azam FC, katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC, maarufu kama “Mzizima Derby”. Mchezo huu unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa na utaanza rasmi majira ya saa 1:00 usiku kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Mashabiki wanatarajia burudani ya hali ya juu kutoka kwa vikosi vyote viwili.

Kikosi Rasmi cha Simba SC Dhidi ya Azam FC

Kocha wa Simba SC ametangaza kikosi chake cha kwanza ambacho kitakianza mchezo huu muhimu. Hiki hapa kikosi rasmi cha Simba SC:

  • Camara (Kipa) – Jezi Namba 40
  • Shomari Kapombe – Jezi Namba 12
  • Hussein (C) – Jezi Namba 15
  • Hamza – Jezi Namba 14
  • Che Malone – Jezi Namba 20
  • Kagoma – Jezi Namba 21
  • Kibu – Jezi Namba 38
  • Ngoma – Jezi Namba 6
  • Ateba – Jezi Namba 13
  • Ahoua – Jezi Namba 10
  • Mpanzu – Jezi Namba 34

Wachezaji wa Akiba

Katika benchi, Simba SC ina wachezaji waliopo tayari kuingia na kubadilisha mwelekeo wa mchezo. Wachezaji wa akiba ni:

  • Ally
  • Duchu
  • Houma
  • Chamou
  • Fernandes
  • Chasambi
  • Awesu
  • Mashaka
  • Mukwala
  • Alex

Hiki Apa Kikosi cha Simba vs Azam Fc Leo 24/02/2025

Mapendekezo ya Mhariri:

  1. Hiki Apa Kikosi cha Simba vs Azam Fc Leo 24/02/2025
  2. Matokeo ya Mashujaa VS Yanga Sc Leo 23/02/2025
  3. Kikosi cha Yanga vs Mashujaa Leo 23/02/2025
  4. Washindi wa Tuzo za Wachekeshaji Tanzania 2025
  5. Droo Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika CAF 2025
Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo