Ipswich Town Yafuzu Ligi Kuu EPL Baada Ya Miaka 22

Ipswich Town Yafuzu Ligi Kuu EPL Baada Ya Miaka 22

Ipswich Town hatimaye yamerejea Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kusubiri takriban miongo miwili. ‘The Tractor Boys’ wamerejesha fahari yao kwa kurudi kwenye kinyang’anyiro kikubwa zaidi cha soka duniani.

Magoli ya Wes Burns and Omari Hutchinson katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Huddersfield Town ndiyo yaliyothibitisha kupanda daraja kwa Ipswich Town. Wanamaliza msimu wa Championship wakiwa kileleni kwa pointi 96, wakifuatiwa na Leeds United walioshika nafasi ya tatu.

Ipswich Town Yafuzu Ligi Kuu EPL Baada Ya Miaka 22

Msimamo Wa Championship hadi hii leo may 6 2024

# Team Pl W D L F A GD Pts
1 Leicester City 46 31 4 11 89 41 48 97
2 Ipswich Town 46 28 12 6 92 57 35 96
3 Leeds United 46 27 9 10 81 43 38 90
4 Southampton 46 26 9 11 87 63 24 87
5 West Bromwich Albion 46 21 12 13 70 47 23 75
6 Norwich City 46 21 10 15 79 64 15 73
7 Hull City 46 19 13 14 68 60 8 70
8 Middlesbrough 46 20 9 17 71 62 9 69
9 Coventry City 46 17 13 16 70 59 11 64
10 Preston North End 46 18 9 19 56 67 -11 63
11 Bristol City 46 17 11 18 53 51 2 62
12 Cardiff City 46 19 5 22 53 70 -17 62
13 Millwall 46 16 11 19 45 55 -10 59
14 Swansea City 46 15 12 19 59 65 -6 57
15 Watford 46 13 17 16 61 61 0 56
16 Sunderland 46 16 8 22 52 54 -2 56
17 Stoke City 46 15 11 20 49 60 -11 56
18 Queens Park Rangers 46 15 11 20 47 58 -11 56
19 Blackburn Rovers 46 14 11 21 60 74 -14 53
20 Sheffield Wednesday 46 15 8 23 44 68 -24 53
21 Plymouth Argyle 46 13 12 21 59 70 -11 51
22 Birmingham City 46 13 11 22 50 65 -15 50
23 Huddersfield Town 46 9 18 19 48 77 -29 45
24 Rotherham United 46 5 12 29 37 89 -52 27

Mapendekezo ya Mhariri:

Nina uzoefu wa miaka zaidi 6 katika uandishi wa habari nchini Tanzania. Shauku yangu ni kuleta habari muhimu katika nyanja mbalimbali ikiwemo Elimu na Michezo